Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

Hotuba ya Prof. Godius Kahyarara, Katibu Mkuu - Uchukuzi kwenye Ufunguzi wa Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Rasimu za Kanuni Mpya za LATRA
Imewekwa: 23 Dec, 2024

Wakati LATRA inaendelea kutekeleza majukumu yake ya udhibiti, imekuwa ikikumbana na changamoto mbalimbali zinazopelekea uhitaji wa kuwa na Kanuni hizi ili kutatua changamoto hizo. Miongoni mwa changamoto ni:

  1. kutokuwepo kwa Kanuni mahsusi za kushughulikia utoaji, usitishwaji na ufutwaji wa leseni kwa watoa huduma kwa njia ya Reli;
  2. kutokuwepo kwa Kanuni mahsusi zinazoainisha utaratibu wa kutoa vibali na leseni kwa ajili ya usimikaji na uendeshaji wa usafiri wa waya; na
  3. kutokuwepo kwa Kanuni mahsusi zinazotoa utaratibu kuhusiana na leseni maalumu kwa ajili ya kutoa huduma za usafiri wa umma

Pakua taarifa kamili

Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo