ENGLISH
KISWAHILI
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini
Piga Bure : 0800110019/0800110020
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Sisi ni nani
Dira, Dhamira na Misingi Mikuu
Wadau
Majukumu ya Mamlaka
Uongozi
Muundo wa Taasisi
Bodi ya Wakurugenzi
Menejimenti
Kurugenzi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Barabara
Kurugenzi ya Usalama wa Mazingira
Kurugenzi ya Udhibiti Uchumi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Reli
Kurugenzi ya Huduma za Mamlaka
Idara
Idara ya Leseni za Biashara
Idara ya Ufuatiliaji Barabara
Idara ya Uthibitishaji Madereva na Usajili wa Wahudumu
Idara ya Uratibu Usalama na Mazingira.
idara ya Miundombinu ya Reli
Idara ya Vyombo vya Usafiri wa Reli
Idara ya Umeme na Mawasiliano
Idara ya Utafiti na Takwimu za Usafirishaji
Idara ya Ushindani na Tozo
Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
Idara ya Fedha na Uhasibu
Idara ya Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala
Vitengo
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma
Kitengo cha Huduma za Sheria
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
Kitengo cha TEHAMA
Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
Sheria
Rasimu za Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za mwaka 2025
Mapendekezo ya Kanuni za LATRA za mwaka 2024
Mapendekezo ya Maboresho ya Sheria na baadhi ya Kanuni za LATRA
Sheria
Kanuni
Rasimu za Kanuni za Watoa Huduma Binafsi za Usafiri wa Reli za Mwaka 2023
Usafiri Barabara
Usafiri Reli
Taratibu
Usafiri wa Barabara
Usafiri wa Reli
Miongozo
Mwongozo wa Usafiri wa Reli
Kituo cha Habari
Taarifa kwa Umma
Elimu kwa Madereva
Picha Mnato
Picha Jongefu
Kutoka Magazetini
Magazeti ya Mwaka 2025
Hotuba
Makala
Ramani ya Tanzania
Machapisho
Masijala ya Umma
Taarifa kwa Abiria
Majarida
Takwimu
Taarifa za Robo Mwaka
Taarifa za Mwaka
Tafiti
Taarifa ya Mwaka
Mpango Mkakati
Maagizo & Notisi
Mkataba wa Huduma kwa Mteja
Watoa Huduma za Teksi Mtandao
Vigezo na Masharti ya Mhudumu wa Mabasi
Fomu
Huduma Mtandao
RRIMS
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
Safari Tiketi
Masijala Mtandao
Maktaba Mtandao
Nauli
Daladala
Mabasi ya Njia Ndefu
Teksi Mtandao
Treni ya SGR
LATRA App
Wiki ya Usafiri
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) akifungua mafunzo kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa LATRA Januari 16, 2026, ukumbi wa Mikutano Magadu, Mkoani Morogoro ambapo walijifunza kuhusu Afya ya Moyo, Sheria ya Mirathi, Haki za Watoto pamoja na Sheria ya Ndoa.
Bw. Andrew Magombana, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Usafiri kwa njia ya Barabara Wizara ya Uchukuzi aliyemuwakilisha Prof. Godius Kahyarara, Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, akifungua rasmi Mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu mapendekezo ya Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2026, Ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Utalii Dar es Salaam Januari 8, 2026.
CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akitoa salaam za ukaribisho kwenye mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu Mapendekezo ya Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2026, Ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Utalii Dar es Salaam Januari 8, 2026.
Bi. Mwadawa Sultan, Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akiwasilisha Rasimu za Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2026 katika Mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu mapendekezo ya Kanuni hizo uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Utalii Dar es Salaam Januari 8, 2026.
Prof. Ahmed Ame (wa tatu kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya LATRA akipokea tuzo ya LATRA, Mshindi wa Kwanza kwa utendaji kazi mwaka 2024/25 miongoni mwa taasisi za Wizara ya Uchukuzi. Tuzo hiyo imetolewa Desemba 17, 2025 jijini Arusha na Mhe. Joseph Mkude, Mkuu wa Wilaya ya Arusha, kwa niaba ya Mhe. Prof. Makame Mbarawa Waziri wa Uchukuzi katika Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi.
Mhe. David Kihenzile (Mb), Naibu Waziri wa Uchukuzi akiipongeza Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) kwa kubuni na kutumia mifumo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) alipotembelea banda la LATRA kwenye Maonesho ya Mkutano wa 18 wa Tathmini ya Utendaji wa Sekta ya Uchukuzi unaofanyika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) kuanzia Desemba 15 hadi 17, 2025.
CPA Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akikagua taarifa zilizopo kwenye tiketi ya kielektroni wakati wa ukaguzi wa mwisho wa mwaka, Desemba 6, 2025 Kituo Kikuu cha Mabasi Magufuli, Dar es Salaam.
CPA Njama Moyo, Mhasibu Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akipokea tuzo kwa niaba ya CPA Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA baada ya LATRA kuibuka mshindi wa tatu katika Tuzo za Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), kwa uwasilishaji Bora wa Hesabu za Kifedha katika Sekta ya Umma kwa viwango vya Kimataifa (IPSAS) mwaka 2024, kundi la Mamlaka za Udhibiti. Hafla ya kupokea tuzo hiyo ilifanyika Desemba 04, 2025 ukumbi wa mikutano APC Bunju, Dar es Salaam.
.
.
Previous
Next
CPA, Dkt. Habibu J. Suluo
Mkurugenzi Mkuu
Wasifu
|
Karibu
Habari Mpya
Tazama Zaidi
SACCOS YA KWANZA YA MAAFISA UFARISHAJI KUANZISHWA MKOANI NJOMBE
18 Jan, 2026
CPA, DKT. SULUO AWASIHI WATUMISHI WA LATRA KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUJITUMA
16 Jan, 2026
ABIRIA WAASWA KUHAKIKI TIKETI ZAO KABLA YA KUANZA SAFARI
16 Jan, 2026
MAGOMBANA: KANUNI HIZI NI MUHIMU KATIKA KUIMARISHA SEKTA YA USAFIRISHAJI
09 Jan, 2026
Matukio
Tazama Zaidi
08
Jan 26
Kusogezwa Mbele kwa Tarehe ya Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva
Chuo cha Utalii, Dar es Salaam
22
Dec 25
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2025
Chuo cha Utalii, Dar es Salaam
26
Nov 25
Ufunguzi wa Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini mwaka 2025
JNICC, Dar es Salaam
24
Nov 25
Maonesho ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini Novemba 24 - 29, 2025, Mnazi Mmoja, DSM
Mnazi Mmoja Grounds, DSM
Matangazo
Tazama Zaidi
Njia Mpya za Usajili wa Leseni Mkoani Pwani
06 Jan, 2026
Kusogezwa Mbele kwa Tarehe ya Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa...
18 Dec, 2025
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Maderev...
09 Dec, 2025
Fursa za Leseni za muda kipindi cha mwisho wa mwaka
04 Dec, 2025
Hotuba ya CPA Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA kwenye Hafla ya Ufunguzi wa Maadhimisho ya Kwanza ya Wiki ya Usaf...
26 Nov, 2025
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
Kuchapa Leseni Kiganjani
Kujisajili kwenye Mfumo wa RRIMS
Kusajiliwa na Kuthibitishwa (Wahudumu na Madereva wa Vyombo vya Moto Kibiashara)
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Mabasi Maalum ya Kukodi
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Teksi za Kawaida /Teksi Mtandao
Huduma Mtandao
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Kutahini Madereva
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
RRIMS
Safari Tiketi
Dirisha la Wasafiri
Abiria Funga Mkanda
Mrejesho
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha