ENGLISH
KISWAHILI
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini
Piga Bure : 0800110019/0800110020
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Sisi ni nani
Dira, Dhamira na Misingi Mikuu
Wadau
Kazi za Mamlaka
Uongozi
Muundo wa Taasisi
Bodi ya Wakurugenzi
Menejimenti
Kurugenzi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Barabara
Kurugenzi ya Usalama wa Mazingira
Kurugenzi ya Udhibiti Uchumi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Reli
Kurugenzi ya Huduma za Mamlaka
Idara
Idara ya Leseni za Biashara
Idara ya Ufuatiliaji Barabara
Idara ya Uthibitishaji Madereva na Usajili wa Wahudumu
Idara ya Uratibu Usalama na Mazingira.
idara ya Miundombinu ya Reli
Idara ya Vyombo vya Usafiri wa Reli
Idara ya Umeme na Mawasiliano
Idara ya Utafiti na Takwimu za Usafirishaji
Idara ya Ushindani na Tozo
Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
Idara ya Fedha na Uhasibu
Idara ya Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala
Vitengo
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma
Kitengo cha Huduma za Sheria
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
Kitengo cha TEHAMA
Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
Sheria
Mapendekezo ya Kanuni za LATRA za mwaka 2024
Mapendekezo ya Maboresho ya Sheria na baadhi ya Kanuni za LATRA
Sheria
Kanuni
Rasimu za Kanuni za Watoa Huduma Binafsi za Usafiri wa Reli za Mwaka 2023
Usafiri Barabara
Usafiri Reli
Taratibu
Usafiri wa Barabara
Usafiri wa Reli
Miongozo
Mwongozo wa Usafiri wa Reli
Kituo cha Habari
Taarifa kwa Umma
Elimu kwa Madereva
Picha Mnato
Picha Jongefu
Hotuba
Makala
Ramani ya Tanzania
Machapisho
Masijala ya Umma
Taarifa kwa Abiria
Majarida
Takwimu
Taarifa za Robo Mwaka
Taarifa za Mwaka
Tafiti
Taarifa ya Mwaka
Mpango Mkakati
Maagizo & Notisi
Mkataba wa Huduma kwa Mteja
Watoa Huduma za Teksi Mtandao
Vigezo na Masharti ya Mhudumu wa Mabasi
Fomu
Huduma Mtandao
RRIMS
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
Safari Tiketi
Masijala Mtandao
Maktaba Mtandao
Nauli
Daladala
Mabasi ya Njia Ndefu
Teksi Mtandao
Treni ya SGR
LATRA App
eMrejesho
Sera ya Ubora
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
.
DCP Johansen Kahatano Mkurugenzi Udhibiti Usafiri wa Barabara Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), alipokutana na viongozi na wajumbe wa Umoja wa Daladala Jiji la Arusha (UWADAJA) kwa lengo la kufahamu hatua waliofikia ya kuanzisha chama cha ushirika cha wamiliki wa daladala Mkoani humo, Juni 06, 2025.
Mhe. Mwanahamisi Munkunda, Mkuu wa Wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro kwenye kikao cha pamoja na Mhe. Joseph Tadayo Mbunge wa Jimbo la Mwanga, DCP Johansen Kahatano, Mkurugenzi Udhibiti Usafiri wa Barabara (LATRA), viongozi wa Chama cha Ushirika cha Madereva na Wamiliki wa Bodaboda na Bajaji Mkoani Kilimanjaro (KIBABOT SACCOS) pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Kilimanjaro ambapo walijadili kuhusu umuhimu wa kufungua tawi la KIBABOT SACCOS Wilayani hapo, Juni 6, 2025.
Bi. Neema Ringo, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi LATRA, alipotembelea Banda la LATRA kwenye Maonesho ya Wiki ya Mazingira Juni 05, 2025 katika viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Jijini Dodoma na kushuhudia shuguli za utoaji elimu kwa wadau wanaofika katika banda hilo.
Mhe. Anthony Mtaka, Mkuu wa Mkoa wa Njombe, akipata elimu ya jinsi pikipiki za magurudumu matatu (bajaji) zinazotumia umeme zinavyotunza mazingira alipotembelea banda la LATRA kwenye maonesho ya Wiki ya Mazingira Dodoma Juni 05, 2025, viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete.
Mhe. Khamis Hamza Khamis (Mb), Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) alipotembelea Banda la LATRA kwenye Maonesho ya Wiki ya Mazingira Juni 04, 2025 katika viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Jijini Dodoma ambapo alipatiwa elimu ya jinsi LATRA inavyodhibiti sekta ndogo ya Barabara, Reli na Waya kutoka kwa Bw. Geoffrey Silanda, Meneja Uratibu Usalama na Mazingira.
Prof. Dos Santos Silayo, Kamishna wa Uhifadhi, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) akipata elimu ya jinsi LATRA inavyodhibiti sekta ya usafiri ardhini kwa kutumia mifumo ya TEHAMA kutoka kwa SP Rukia Kibwana, Afisa Leseni na Usajili LATRA, Juni 03, 2025 viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma kwenye maonesho ya Wiki ya Mazingira yanayoendelea hadi Juni 05, 2025.
Bw. Oni Sigalla Mhariri Mwandamizi wa Kiswahili kutoka Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) akipokea zawadi kutoka kwa Bi. Mambwana Jumbe, AFisa Uhusiano LATRA alipotembelea banda la LATRA kwenye Maonesho ya Wiki ya Mazingira, Viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Dodoma Juni 02, 2025.
Mhe. Jumaa Aweso (Mb), Waziri wa Maji, akipokea zawadi kutoka kwa Bw. Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano LATRA alipotembelea banda la LATRA Juni 02, 2025 kwenye maonesho ya Wiki ya Mazingira yanayofanyika jijini Dodoma, viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete.
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), inashiriki katika Maonesho ya Wiki ya Mazingira yanayofanyika kuanzia Juni 01 - 05, 2025 katika viwanja vya Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Jijini Dodoma.
Previous
Next
CPA Habibu J. Suluo
Mkurugenzi Mkuu
Wasifu
|
Karibu
Habari Mpya
Tazama Zaidi
ELIMU YA USHIRIKA YAWAFIKIA MAAFISA WASAFIRISHAJI WILAYANI MWANGA, MKOA WA KILIMANJARO
08 Jun, 2025
UWADAJA MBIONI KUANZISHA USHIRIKA
08 Jun, 2025
MHE. MUNKUNDA AIPONGEZA LATRA KWA KUONGEZA FURSA ZA AJIRA
06 Jun, 2025
MHE. KHAMIS AKOSHWA NA BAJAJI ZINAZOTUMIA UMEME
05 Jun, 2025
Matukio
Tazama Zaidi
23
Dec 24
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau Kuhusu Mapendekezo ya Kanuni za LATRA
Ukumbi wa Karimjee
23
Oct 24
17th Joint Transport Sector Review Meeting
Arusha International Conference Centre (AICC)
05
Jun 24
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Maboresho ya Sheria na Baadhi ya Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA)
Ukumbi wa Mikutano wa Arnaoutouglou
04
Jun 24
Hafla ya Pili ya Utoaji vyeti kwa Madereva Waliothibitishwa
Ukumbi wa Mikutano wa Arnaoutouglou
Matangazo
Tazama Zaidi
Fursa ya Kuongeza Idadi ya Mabasi Jijini Dar es Salaam
28 May, 2025
Utekelezaji wa Kanuni – Wasafirishaji Kuajiri Wahudumu wa Mabasi Waliosajiliwa na LATRA
17 May, 2025
Hotuba ya Waziri wa Uchukuzi Mheshimiwa Prof. Makame Mnyaa Mbarawa (Mb.), akiwasilisha Bungeni Mpango na Makadirio ya Ma...
15 May, 2025
Minada ya Hadhara
05 May, 2025
Njia mpya za Usajili wa Leseni Mkoani Dar es Salaam
29 Apr, 2025
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
Kuchapa Leseni Kiganjani
Kujisajili kwenye Mfumo wa RRIMS
Kusajiliwa na Kuthibitishwa (Wahudumu na Madereva wa Vyombo vya Moto Kibiashara)
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Mabasi Maalum ya Kukodi
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Teksi za Kawaida /Teksi Mtandao
Huduma Mtandao
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Kutahini Madereva
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
RRIMS
Safari Tiketi
Dirisha la Wasafiri
Abiria Funga Mkanda
Mrejesho
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha