ENGLISH
KISWAHILI
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini
Piga Bure : 0800110019/0800110020
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Sisi ni nani
Dira, Dhamira na Misingi Mikuu
Wadau
Majukumu ya Mamlaka
Uongozi
Muundo wa Taasisi
Bodi ya Wakurugenzi
Menejimenti
Kurugenzi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Barabara
Kurugenzi ya Usalama wa Mazingira
Kurugenzi ya Udhibiti Uchumi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Reli
Kurugenzi ya Huduma za Mamlaka
Idara
Idara ya Leseni za Biashara
Idara ya Ufuatiliaji Barabara
Idara ya Uthibitishaji Madereva na Usajili wa Wahudumu
Idara ya Uratibu Usalama na Mazingira.
idara ya Miundombinu ya Reli
Idara ya Vyombo vya Usafiri wa Reli
Idara ya Umeme na Mawasiliano
Idara ya Utafiti na Takwimu za Usafirishaji
Idara ya Ushindani na Tozo
Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
Idara ya Fedha na Uhasibu
Idara ya Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala
Vitengo
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma
Kitengo cha Huduma za Sheria
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
Kitengo cha TEHAMA
Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
Sheria
Rasimu za Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za mwaka 2025
Mapendekezo ya Kanuni za LATRA za mwaka 2024
Mapendekezo ya Maboresho ya Sheria na baadhi ya Kanuni za LATRA
Sheria
Kanuni
Rasimu za Kanuni za Watoa Huduma Binafsi za Usafiri wa Reli za Mwaka 2023
Usafiri Barabara
Usafiri Reli
Taratibu
Usafiri wa Barabara
Usafiri wa Reli
Miongozo
Mwongozo wa Usafiri wa Reli
Kituo cha Habari
Taarifa kwa Umma
Elimu kwa Madereva
Picha Mnato
Picha Jongefu
Kutoka Magazetini
Magazeti ya Mwaka 2025
Hotuba
Makala
Ramani ya Tanzania
Machapisho
Masijala ya Umma
Taarifa kwa Abiria
Majarida
Takwimu
Taarifa za Robo Mwaka
Taarifa za Mwaka
Tafiti
Taarifa ya Mwaka
Mpango Mkakati
Maagizo & Notisi
Mkataba wa Huduma kwa Mteja
Watoa Huduma za Teksi Mtandao
Vigezo na Masharti ya Mhudumu wa Mabasi
Fomu
Huduma Mtandao
RRIMS
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
Safari Tiketi
Masijala Mtandao
Maktaba Mtandao
Nauli
Daladala
Mabasi ya Njia Ndefu
Teksi Mtandao
Treni ya SGR
LATRA App
Wiki ya Usafiri
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
Mha. Moses Nyoni, Afisa Mkaguzi wa Reli Mwandamizi - LATRA, aliyemuwakilisha Mkurugenzi Udhibiti Usafiri wa Reli - LATRA akitoa elimu kwa waongoza treni (hawako pichani) jinsi ya kuenenda kwa usalama wakiwa kazini ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na uzembe, semina hii imefanyika Februari 16, 2026 Stesheni ya John Magufuli (SGR), Dar es Salaam.
Bw. Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) akiongoza kikao kilichohusisha Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) na wadau wa sekta ya usafiri ardhini kuhusu umuhimu wa kuweka taarifa za kampuni ya bima kwenye tiketi mtandao. Kikao hicho kimefanyika Februari 17, 2026 Ukumbi wa mikutano ofisi za LATRA, Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu (PIC) kwenye kikao cha pamoja na Menejimenti ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) walipotembelea LATRA kwa lengo la kujifunza kuhusu kazi na majukumu yanayotekelezwa na Mamlaka hiyo Februari 16, 2026, Ofisi za LATRA Mkoa wa Dar es Salaam.
Mhe. Prof. Makame Mnyaa Mbarawa (Mb), Waziri wa Uchukuzi akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu hatua za serikali kuboresha usafiri wa wanafunzi katika maeneo ya mijini Februari 4, 2026 jijini Dodoma. Kulia ni CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA).
Prof. Makame Mbarawa (Mb), Waziri wa Uchukuzi akiwasilisha taarifa za utendaji kazi wa taasisi zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu iliyoongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Selemani Kakoso (Mb) Januari 20, 2026 Bungeni jijini Dodoma.
Bw. Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akizungumza na vyombo vya habari kuhusu mifumo yaTiketi Mtandao iliyoidhinishwa kutoa huduma kwa mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani Januari 30, 2026 ukumbi wa mikutano ofisi za LATRA Dar es salaam.
CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) akifungua mafunzo kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa LATRA Januari 16, 2026, ukumbi wa Mikutano Magadu, Mkoani Morogoro ambapo walijifunza kuhusu Afya ya Moyo, Sheria ya Mirathi, Haki za Watoto pamoja na Sheria ya Ndoa.
Bw. Andrew Magombana, Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Usafiri kwa njia ya Barabara Wizara ya Uchukuzi aliyemuwakilisha Prof. Godius Kahyarara, Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, akifungua rasmi Mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu mapendekezo ya Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2026, Ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Utalii Dar es Salaam Januari 8, 2026.
CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akitoa salaam za ukaribisho kwenye mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu Mapendekezo ya Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2026, Ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Utalii Dar es Salaam Januari 8, 2026.
Bi. Mwadawa Sultan, Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), akiwasilisha Rasimu za Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2026 katika Mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu mapendekezo ya Kanuni hizo uliofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Chuo cha Utalii Dar es Salaam Januari 8, 2026.
Previous
Next
CPA, Dkt. Habibu J. Suluo
Mkurugenzi Mkuu
Wasifu
|
Karibu
Habari Mpya
Tazama Zaidi
LATRA YAWANOA WATUMISHI WA SGR
17 Feb, 2026
MHE. MUTASINGWA: ELIMU YA MIFUMO YA LATRA NI MUHIMU KWA WANANCHI
17 Feb, 2026
KAMATI YA PIC YAITAKA LATRA KUWADHIBITI WANAOCHEZEA VTD
17 Feb, 2026
MAWAKALA WA LATRA MOROGORO WANOLEWA KUHUSU RUSHWA
17 Feb, 2026
Matukio
Tazama Zaidi
08
Jan 26
Kusogezwa Mbele kwa Tarehe ya Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva
Chuo cha Utalii, Dar es Salaam
22
Dec 25
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2025
Chuo cha Utalii, Dar es Salaam
26
Nov 25
Ufunguzi wa Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini mwaka 2025
JNICC, Dar es Salaam
24
Nov 25
Maonesho ya Kwanza ya Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini Novemba 24 - 29, 2025, Mnazi Mmoja, DSM
Mnazi Mmoja Grounds, DSM
Matangazo
Tazama Zaidi
Njia mpya za Zenye Uhitaji wa Kuongeza Idadi ya Magari
18 Feb, 2026
Njia Mpya na Zenye Uhitaji wa Kuongeza Idadi ya Magari
18 Feb, 2026
Njia Mpya ya Usajili wa Leseni Mkoa wa Pwani
09 Feb, 2026
Hatua za Serikali Kuboresha Usafiri wa Wanafunzi Katika Maeneo ya Mijini
05 Feb, 2026
Mifumo ya Tiketi Mtandao Iliyoidhinishwa Kutoa Huduma kwa Mabasi Yaendayo Mikoani na Nchi Jirani
30 Jan, 2026
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
Kuchapa Leseni Kiganjani
Kujisajili kwenye Mfumo wa RRIMS
Kusajiliwa na Kuthibitishwa (Wahudumu na Madereva wa Vyombo vya Moto Kibiashara)
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Mabasi Maalum ya Kukodi
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Teksi za Kawaida /Teksi Mtandao
Huduma Mtandao
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Kutahini Madereva
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
RRIMS
Safari Tiketi
Dirisha la Wasafiri
Abiria Funga Mkanda
Mrejesho
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha