ENGLISH
KISWAHILI
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini
Piga Bure : 0800110019/0800110020
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Sisi ni nani
Dira, Dhamira na Misingi Mikuu
Wadau
Majukumu ya Mamlaka
Uongozi
Muundo wa Taasisi
Bodi ya Wakurugenzi
Menejimenti
Kurugenzi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Barabara
Kurugenzi ya Usalama wa Mazingira
Kurugenzi ya Udhibiti Uchumi
Kurugenzi ya Udhibiti Usafiri wa Reli
Kurugenzi ya Huduma za Mamlaka
Idara
Idara ya Leseni za Biashara
Idara ya Ufuatiliaji Barabara
Idara ya Uthibitishaji Madereva na Usajili wa Wahudumu
Idara ya Uratibu Usalama na Mazingira.
idara ya Miundombinu ya Reli
Idara ya Vyombo vya Usafiri wa Reli
Idara ya Umeme na Mawasiliano
Idara ya Utafiti na Takwimu za Usafirishaji
Idara ya Ushindani na Tozo
Idara ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini
Idara ya Fedha na Uhasibu
Idara ya Usimamizi wa Rasilimali Watu na Utawala
Vitengo
Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma
Kitengo cha Huduma za Sheria
Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
Kitengo cha TEHAMA
Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
Sheria
Rasimu za Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za mwaka 2025
Mapendekezo ya Kanuni za LATRA za mwaka 2024
Mapendekezo ya Maboresho ya Sheria na baadhi ya Kanuni za LATRA
Sheria
Kanuni
Rasimu za Kanuni za Watoa Huduma Binafsi za Usafiri wa Reli za Mwaka 2023
Usafiri Barabara
Usafiri Reli
Taratibu
Usafiri wa Barabara
Usafiri wa Reli
Miongozo
Mwongozo wa Usafiri wa Reli
Kituo cha Habari
Taarifa kwa Umma
Elimu kwa Madereva
Picha Mnato
Picha Jongefu
Kutoka Magazetini
Hotuba
Makala
Ramani ya Tanzania
Machapisho
Masijala ya Umma
Taarifa kwa Abiria
Majarida
Takwimu
Taarifa za Robo Mwaka
Taarifa za Mwaka
Tafiti
Taarifa ya Mwaka
Mpango Mkakati
Maagizo & Notisi
Mkataba wa Huduma kwa Mteja
Watoa Huduma za Teksi Mtandao
Vigezo na Masharti ya Mhudumu wa Mabasi
Fomu
Sera ya Ubora
Huduma Mtandao
RRIMS
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
Safari Tiketi
Masijala Mtandao
Maktaba Mtandao
Nauli
Daladala
Mabasi ya Njia Ndefu
Teksi Mtandao
Treni ya SGR
LATRA App
Uendelevu
Wiki ya Usafiri
Mafunzo
Picha Jongefu
Sera ya Ubora
Maswali
Mrejesho
Wasiliana nasi
Nafasi za Kazi
Barua pepe za Wafanyakazi
Zabuni
Mhe. Museba Frank Tayali (Mbunge), Waziri wa Uchukuzi na Lojistiki wa Zambia, akifanya mazungumzo na CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, katika banda la maonesho la LATRA wakati wa Maonesho ya Land-Linked Zambia.
Wakili Flory Okonge, Katibu Mtendaji wa Wakala wa Uwezeshaji Usafiri wa Ukanda wa Kati (Central Corridor), akifanya mazungumzo na CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa LATRA (wa katikati) , katika banda la maonesho la LATRA wakati wa Maonesho ya Land-Linked Zambia. Kushoto ni Bw. Salum Pazzy, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Umma wa LATRA.
Bw. Andrew Magombana, Mkurugenzi Msaidizi Usafiri kwa njia ya Barabara, Wizara ya Uchukuzi, aliyemuwakilisha Prof. Godius Kahyarara, Katibu Mkuu Uchukuzi akifungua rasmi mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu mchakato wa mapitio ya nauli za usafiri wa umma kwa njia ya barabra. Mkutano huo umefanyika Ukumbi wa Mikutano wa Karimjee Dar es Salaam Aprili 8, 2026.
CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) akifanya wasilisho kwenye mkutano wa kupokea maoni ya wadau kuhusu mchakato wa mapitio ya nauli za usafiri wa umma kwa njia ya barabra. Mkutano huo umefanyika Ukumbi wa Mikutano wa Karimjee Dar es Salaam Aprili 8, 2026.
CPA, Dkt. Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) (wa tisa kulia) pamoja na Bi Mwadawa Sultan, Mkurugenzi Huduma za Sheria LATRA ( wa kumi kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Wanahabari Mabalozi wa LATRA kwenye semina ya kuwajengea uwezo wanahabari hao kuhusu uandishi wa habari za LATRA pamoja na kufahamu kazi na majukumu ya LATRA, Aprili 1, 2026
Bi. Mwadawa Sultan, Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Sheria LATRA akitoa wasilisho kwenye semina ya kuwajengea uwezo wanahabari mabalozi wa LATRA,Semina hiyo inafanyika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere (MNLS), kilichopo Kibaha Pwani kuanzia Aprili 1 hadi 2, 2026.
Bw. Athumani Kwikima, Mkurugenzi wa Huduma za Mamlaka LATRA akizungumza na watumishi 11 ambao ni machampioni wa utekelezaji wa masuala ya ESG kutoka LATRA wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uelewa na uwezo wa kuzingatia Viwango vya Kimataifa ili kulinda mazingira na maslahi ya jamii ikiwa ni utekelezaji wa masuala ya Uendelevu wa Mazingira, Jamii na Utawala Bora (ESG).
Prof. David Mfinanga, Mwenyekiti wa Kamati ya kuandaa andiko la mapendekezo ya namna bora ya kusimamia huduma bora za usafiri wa Pikipiki akiongoza kikaokazi kati ya kamati hiyo na Shirikisho la Waendesha Pikipiki Mkoa wa Dar es Salaam na Taifa, Machi 23, 2026 ofisi za LATRA Dar es Salaam.
Bw. Andrew Magombana, Mkurugenzi Msaidizi Usafiri kwa njia ya Barabara, Wizara ya Uchukuzi akiongoza kikao cha kutoa elimu na kupokea maoni ya viongozi wa vyama vya malori Tanzania na wamiliki wa kampuni za usafiri wa malori nchini kuhusu rasimu za Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu wa Madereva za Mwaka 2026. Kikao hicho kimefanyika ofisi za LATRA Dar es Salaam, Machi 18, 2026.
Bw. Andrew Magombana, Mkurugenzi Msaidizi Usafiri kwa njia ya Barabara, Wizara ya Uchukuzi akiongoza kikao cha kutoa elimu na kupokea maoni ya viongozi wa madereva wa vyombo vya moto vinavyodhibitiwa na mamlaka kuhusu rasimu za Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu wa Madereva za Mwaka 2026. Kikao hicho kifanyika ofisi za LATRA Dar es Salaam, Machi 17, 2026.
Previous
Next
CPA, Dkt. Habibu J. Suluo
Mkurugenzi Mkuu
Wasifu
|
Karibu
Habari Mpya
Tazama Zaidi
KUVUKA MIPAKA KWA UFANISI! LATRA YANG’ARA KATIKA MKUTANO NA MAONESHO YA LAND-LINKED ZAMBIA 2026 JIJI...
26 Apr, 2026
CPA, DKT. SULUO: TUNATHAMINI KALAMU ZENU
22 Apr, 2026
LATRA YAPEWA KONGOLE USHIRIKIANO NA WANAHABARI
22 Apr, 2026
MAGOMBANA: HUDUMA ZA USAFIRI ARDHINI ZINAONGOZWA NA SHERIA
08 Apr, 2026
Matukio
Tazama Zaidi
08
Apr 26
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mchakato wa Mapitio ya Nauli za Usafiri wa Umma kwa Njia ya Barabara- Ukumbi wa Karimjee, Dar Es Salaam
Karimjee Hall, Dar es Salaam
08
Jan 26
Kusogezwa Mbele kwa Tarehe ya Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva
Chuo cha Utalii, Dar es Salaam
22
Dec 25
Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mapendekezo ya Kutengeneza Kanuni za Usimamizi wa Madhara ya Uchovu kwa Madereva za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini za Mwaka 2025
Chuo cha Utalii, Dar es Salaam
26
Nov 25
Ufunguzi wa Wiki ya Usafiri Endelevu Ardhini mwaka 2025
JNICC, Dar es Salaam
Matangazo
Tazama Zaidi
Mwaliko wa Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mchakato wa Mapitio ya Nauli za Usafiri wa Umma kwa Njia ya Barabara...
06 Apr, 2026
Maboresho na Njia Mpya za Mabasi ya Mijini (Daladala) Katika Jiji la Dar es Salaam
25 Feb, 2026
Njia mpya za Zenye Uhitaji wa Kuongeza Idadi ya Magari
18 Feb, 2026
Njia Mpya ya Usajili wa Leseni Mkoa wa Pwani
09 Feb, 2026
Hatua za Serikali Kuboresha Usafiri wa Wanafunzi Katika Maeneo ya Mijini
05 Feb, 2026
Nifanyaje?
Tazama Zaidi
Kuchapa Leseni Kiganjani
Kujisajili kwenye Mfumo wa RRIMS
Kusajiliwa na Kuthibitishwa (Wahudumu na Madereva wa Vyombo vya Moto Kibiashara)
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Mabasi Maalum ya Kukodi
Kuomba Leseni za Usafiri wa Kukodi-Teksi za Kawaida /Teksi Mtandao
Huduma Mtandao
Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari
Mfumo wa Kutahini Madereva
Mfumo wa Taarifa kwa Abiria
RRIMS
Safari Tiketi
Dirisha la Wasafiri
Abiria Funga Mkanda
Mrejesho
Mrejesho, Malalamiko au Wazo
Wasilisha