Imewekwa: 11 May, 2022
Kufuatia uwepo wa mahitaji makubwa ya usafiri kwa ajili ya abiria wanaoenda kwenye Mashindano ya kuhifadhi Qur’aan Tukufu yatakayofanyika tarehe 17/4/2022 uwanja wa Mkapa - Dar es salaam, Mamlaka imetoa ruhusa kwa daladala au mabasi yenye leseni hai za usafirishaji kutoa huduma ya usafiri kwenye uwanja huo