Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

Mkurugenzi Mkuu atoa Pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga
Imewekwa: 05 Feb, 2023

Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, CPA Habibu Suluo, ametoa salamu za pole kwa Mhe. Omary Tebweta Mgumba, Mkuu wa Mkoa wa Tanga, kufuatia vifo vya watu 17 na majeruhi 12 vilivyotokana na ajali iliyotokea Ijumaa, tarehe 3 Februari, 2023 saa 4:22 usiku eneo la Magila Gereza, tarafa ya Mombo Wilayani Korogwe mkoani Tanga.

Pakua taarifa kamili

Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo