Imewekwa: 11 May, 2022
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Uchukuzi) imeandaa mkutano wa wamiliki wa mabasi Tanzania kwa ajili ya kupokea maoni kuhusu changamoto za mfumo wa udhibiti mwendokasi (Vehicle Tracking System - VTS) pamoja na utekelezaji wa Sheria ya LATRA Na. 3 ya mwaka 2019.