Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

Ruhusa kwa Mabasi ya Dar – Mtwara kupita kwa Dharura Songea - Makambako – Iringa
Imewekwa: 06 May, 2024

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini, inasikitika kutangaza kuwa, kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mikoa ya Kusini – Mashariki mwa Tanzania, kumekuwa na uharibifu mkubwa wa barabara inayotoka Dar es Salaam kwenda mikoa ya Lindi na Mtwara kupitia Kilwa, katika maeneo ya Somanga, Njia nne, Masaninga, Cheketu na Matandu, ambapo barabara hiyo kwa sasa haipitiki kabisa.

Pakua taarifa kamili

Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo