Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

Mkutano wa Kukusanya Maoni Kuhusu Viwango vya Nauli za Abiria kwa Treni ya SGR kwa Mikoa ya Dar Es Salaam – Morogoro-Dodoma-Hadi Bahi
16 Dec, 2022 3:00 asubuhi Ukumbi wa Anatouglou

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi kutoka Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuhusu nauli za abiria kwa treni ya njia ya Reli ya Kisasa – ‘Standard Gauge Railway’ (SGR) zitakavyotumika kwa huduma ya usafiri wa treni za abiria.

Kwa mujibu wa Kifungu Na. 21 cha Sheria Na. 3 ya LATRA, 2019 Mamlaka inapaswa kukusanya maoni ya wadau kabla ya kufikia uamuzi wa kuridhia viwango vya nauli kwa huduma zinazodhibitiwa na Mamlaka ikiwemo nauli za treni.

Soma zaidi

Mkutano wa Kukusanya Maoni Kuhusu Viwango vya Nauli za Abiria kwa Treni ya SGR kwa Mikoa ya Dar Es Salaam – Morogoro-Dodoma-Hadi Bahi
Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo