Imewekwa: 09 May, 2022
Maombi yote ya leseni yanafanyika kwenye mfumo wa usimamizi wa barabara na reli (RRIMS).Jinsi ya kuingia kwenye mfumo ni kama ifuatavyo-:
1. Kupata link ya mfumo , kwenye webiste ya latra, kisha huduma mtandao kama ilivyoonyesha kwenye picha ya chini.
2. Changua RRIMS
3. Itafunguka linki ya mfumo kama inavyoonekana kwenye picha.
4.Jisajili kisha ingia kwenye mfumo ili uweze kufanya maombi yako ya leseni