Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

AMRI YA BODI YA WAKURUGENZI LATRA KUHUSU MAREJEO YA NAULI ZA MABASI YA MASAFA MAREFU NA MIJINI (DALADALA)
27 Nov, 2023 Pakua

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) ilipokea maombi kutoka kwa makampuni ya utoaji huduma ya usafiri wa abiria ya Super Feo Enterprises, ABC Classic na Happy Nation wakiiomba Mamlaka kufanya marejeo ya nauli za mabasi kufuatia ongezeko la gharama za uendeshaji, ikiwemo kupanda kwa bei ya mafuta (petroli na diseli). Mapendekezo ya makampuni haya ni kuongeza nauli ya sasa ya Shilingi 56.88 kwa kilometa kwa abiria kama ifuatavyo:

 

 

Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo