Imewekwa: 26 Jun, 2023
Kutokana na kuwepo kwa mahitaji makubwa ya huduma ya usafiri kwa abiria na wafanyabiashara wanaotaka kwenda kushiriki Maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetoa ruhusa kwa daladala kutoa huduma ya usafiri kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji kuelekea katika viwanja vya sabasaba kwa masharti yafuatayo: