Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

Tanzia
Imewekwa: 13 Oct, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), anasikitika kutangaza kifo cha Bw. Amaniel Zakaria Sekulu, Afisa Leseni na Usajili Mwandamizi, Ofisi ya LATRA Mkoa wa Dar es Salaam, kilichotokea asubuhi ya Oktoba 13, 2025 kwa ajali ya barabarani, Barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam, akiwa anaelekea kazini. Bw. Sekulu alikuwa mfanyakazi mahiri, muadilifu na mkweli.

Soma zaidi

Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo