Imewekwa: 31 May, 2022
Kwa mujibu wa Kifungu Na. 5(1)(e) cha Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini, 2019, Mamlaka ina jukumu la kusajili wahudumu na kuthibitisha madereva wa magari yanayotoa huduma za usafiri kibiashara.
Katika kutekeleza jukumu hilo kisheria, Mamlaka imetengeneza mfumo wa kielektroniki utakaotumika kuwatahini madereva wa magari yanayotoa huduma za usafiri kibiashara kwa lengo la kuwathibitisha