Imewekwa: 03 Jul, 2023
Kwa siku za karibuni tumeshuhudia ajali za mabasi ya abiria ya masafa marefu ambazo zimesababisha madhara madogo na makubwa kwa abiria. Ndani ya takribani wiki nne; kati ya tarehe 6 Juni, 2023 na 2 Julai, 2023 mabasi ya kampuni ya New Force yamehusika katika ajali tano kama ifuatavyo: