Imewekwa: 11 May, 2022
Linkee ni mfumo usiokuwa na leseni ya kutoa huduma ya usafiri wa taxi-mtandao hapa nchini. Hivyo, Mamlaka inautaarifu umma kuacha kuutumia kwa kuwa ni kinyume na Kanuni za Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Magari ya Kukodi) za mwaka 2020, GN 78. Bofya hapa kupakua tangazo