Imewekwa: 30 Sep, 2023
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inawataarifu wananchi na umma kwa ujumla kuwa imeanza rasmi kutumia mfumo wa eMrejesho kwa ajili ya kupokea malalamiko, mapendekezo, pongezi au maulizo. Hivyo, wananchi wote mnashauriwa kutumia mfumo huo unaopatikana kwa anwani ya https://emrejesho.gov.go.tz/ au kwa kupakua Mobile App ya eMrejesho au kwa kutumia simu yako kwa njia ya Msimbo (USSD) au kwa kupitia tovuti ya Mamlaka https://www.latra.go.tz/ sehemu ya tovuti mashuhuri.
Kutuma malalamiko kwa kutumia tovuti, fuata maelekezo yafuatayo;