Imewekwa: 18 Oct, 2024
                            
                            
                        
                    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini(LATRA) inawakaribisha wasafirishaji kuomba leseni kwenye njia mpya za daladala manispaa ya Morogoro,ili kufikisha huduma karibu na wananchi kwa mabasi yanayokidhi vigezo kama ifuatavyo;-

