Imewekwa: 30 Sep, 2023
Kwa dhamira ya dhati aliyonayo Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuona mazingira ya kufanya biashara Nchini yanakuwa bora na kuimarisha shughuli za kiuchumi miongoni mwa Watanzania na Wawekezaji, Serikali inatangaza kuanza rasmi kutolewa kwa ratiba za mabasi ya abiria kusafiri kwa saa 24 kuanzia tarehe 01 Oktoba, 2023.
Katika kutekeleza uamuzi huo, wenye nia njema, yafuatayo yanapaswa yazingatiwe na wadau wote wa usafiri na usafirishaji wakiwemo wamiliki wa mabasi, abiria, madereva, LATRA, TANROADS, TAMISEMI na Jeshi la Polisi: