Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Uchukuzi

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini

Piga Bure : 0800110019/0800110020
LATRA Logo

Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mchakato wa Mapitio ya Nauli za Usafiri wa Umma kwa Njia ya Barabara- Ukumbi wa Karimjee, Dar Es Salaam
06 Apr, 2026 3:30 asubuhi Karimjee Hall, Dar es Salaam

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), kwa kuzingatia Kifungu cha 19 cha Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini Sura ya 413 huandaa na kufanya mapitio ya tozo mbalimbali za huduma za usafiri ardhini zinazodhibitiwa ikiwemo nauli za usafiri wa umma kwa njia ya Barabara. Uandaaji wa tozo hizo huzingatia mazingira mbalimbali ikiwemo maslahi ya Watumia Huduma na Watoa Huduma. Katika kipindi cha hivi karibuni, kumetokea ongezeko la bei ya mafuta (petroli na dizeli) kwa takribani Shilingi za Kitanzania 950 kwa lita moja.

Soma zaidi

Mkutano wa Kupokea Maoni ya Wadau kuhusu Mchakato wa Mapitio ya Nauli za Usafiri wa Umma kwa Njia ya Barabara- Ukumbi wa Karimjee, Dar Es Salaam
Mrejesho

Mrejesho, Malalamiko au Wazo